
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Kidato cha Pili (Form Two National Assessment – FTNA 2025) pamoja na Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne (Standard Four National Assessment – SFNA 2025).
Matokeo hayo yametangazwa Januari 10, 2026, na Katibu Mtendaji wa NECTA, Profesa Said A. Mohamed, wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment