ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, September 20, 2018

CCM YAZOA 21 NA MBILI TU ZA HABANA UCHAGUZI NAIBU MEYA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA



Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji Mwanza Jumatano ya Sep 19, limefanya uchaguzi wa kumpata Naibu Meya ambapo Bhiku Kotecha CCM amerejea kwenye nafasi hiyo, ambayo amekuwako tangu uchaguzi wa kwanza wa baraza hili mwaka 2015.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.