ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 10, 2018

KWAHERI KING MAJUTO.



Msanii mkongwe na maarufu nchini Tanzania na Afrika Mashariki Amri Athuman maarufu Mzee Majuto amefariki dunia wakati akipokea matibabu kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili iliyopo Dar es Salaam Tanzania.
Mzee majuto leo safari yake ya kuelekea Kuhifadhiwa Huko Tanga ilianzia katika ukumibi wa Karimjee ambapo viongozi mbali mbali wakiwemo wastaafa na wakuu wengine wa nchi wakiongozwa na Rais wa jamhuri ya muungano wa TANZANIA Mh Dkt John Pombe Magufuli wameshiri katika kuuaga na kutoa heshima zao za mwisho kwa nguli huyo wa sanaa ya uchekeshaji nchini na afrika mashariki.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.