ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, August 1, 2018

MBUNGE JIMBO LA BUKOMBE ALIVALIA NJUGA SUALA LA ELIMU.



Na George Binagi, Bukombe
Wazazi na walezi katika wilaya ya Bukombe mkoani Geita wametakiwa kuweka mkazo katika kuwasomesha watoto ili kuwasaidia kuondokana na utegemezi hapo baadae. Mbunge jimbo la Bukombe, Doto Biteko ametoa rai hiyo wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Iyogelo jimboni hapa. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.