ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, July 3, 2018

WAREMBO WASHIRIKI WA MISS MWANZA 2018 WATOA MSAADA KWA KITUO CHA WATOTO WANAOISHI MAZINGIRA MAGUMU


Mkurugenzi wa Mepal Management, Ms Pamela B. Irengo (kushoto) akiwa na mmoja kati ya warembo washiriki wa Miss mwanza 2018 wakishiriki kumlisha mmoja ya watoto waishio mazingira magumu wa Kituo cha Fonelisco - Foundation of New Life For street Children and Orphans

Mapema leo washiriki wa Miss Mwanza 2018 walipata nafasi ya kutembelea Kituo cha kulea watoto wanaoishi mazingira magumu cha Fonelisco - Foundation of New Life For street Children and Orphans kushiriki na waalimu wa eneohuika katika malezi kutoa misaada pamoja na kucheza na watoto hao michezo mbalimbali.   #UrembonaKaziKwaMaendeleoYaJamii

 KWatoto wa kituo cha Fonelisco - Foundation of New Life For street Children and Orphanswakifurahia jambo na mmoja wa waalimu wao wakujitolea.
 Wadau wa Miss Mwanza wamefanikisha tabasamu kwa kiwango kikubwa kwa watoto hawa kwa kuwa walezi wa muda waliotumia kituoni hapa. 
 Changamoto na shukurani pia ziliwasilishwa na walezi wa kituo hiki cha kulea watoto yatima waishio mazingira magumu  Fonelisco - Foundation of New Life For street Children and Orphans
Picha ya pamoja.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.