ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, July 27, 2018

CHINA KUJENGA VIWANDA VITATU JIJINI MWANZA



GSENGOtV/ZEPHANIA MANDIA
KATIKA kuunga mkono juhudi za Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na Sera ya Serikali ya viwanda, akiwa ofisini kwake Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella amesema wawekezaji hao kutoka China wako tayari kuwekeza jijini humo kwa kujenga viwanda vitatu vya aina tofauti ikiwa ni pamoja na viwanda vya kusindika na kuongezea thamani kwa bidhaa za chakula, viwanda vya kuunganisha magari na mitambo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.