ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, July 27, 2018

MONGELLA AWATEMBELEA WATOTO WALIOUNGANA BUGANDO MWANZA


GSENGOtV/ZEPHANIA MANDIA
Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando imezungumzia hali za watoto pacha waliozaliwa wameungana kwamba wamelazwa katika chumba cha uangalizi maalumu (ICU).
Akizungumza na waandishi wa habari hospitalini hapo Julai 27 baada ya kumtembeza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella kuwaona pacha hao wa kiume, Mkurugenzi Mkuu wa Bugando Dk Abel Makubi amesema watoto hao walizaliwa kwa njia ya upasuaji. 

Kwa mujibu wa Dk Makubi watoto hao waliozaliwa na Angelina Ramadhani (34) mkazi wa Nyakato jijini Mwanza, wameungana sehemu ya kifua na tumbo.


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.