ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, July 20, 2018

BAADA YA HUKUMU YA WEMA WAKILI WAKE ANENA HAYA.

Wakili wa wema sepetu Albert msando amedai kuwa iwapo wema hata badilika baada ya mahakama kumkuta na hatia na kuhukumiwa mwaka mmoja jela au kulipa faini ya shilingi millioni 2 atakuwa ni mtu wa ajabu.

Vilevile amedai kuwa amemsahauri wema awe balozi mzuri na kuwa na wajibu wa kuwa balozi wa kulisemea swala hili la madawa  ya kulevya na kulikemea na ameendelea lusema kuwa changamoto kubwa ya wasanii wanaigia na kujikuta hawana mambo mengi ya kufanya.

Amemalizia kwa kusema kuwa utofauti wa kesi ya wema na wakina TID ni kwamba swala la wema lilihitaji ushahid na kuthibitishwa ndio mana lmechukua muda mrefu hali kuwa swala la wakina TID wao walikubali moja kwa moja

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.