ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, June 20, 2018

WADAU WA HAKI ZA BINADAMU WAKIWAMO WAANDISHI WA HABARI WASEMA JITIHADA ZA HARAKA ZAHITAJIKA KUWANUSURU WAFANYAKAZI MAJUMBANI.


Na  Zephania Mandia/GSengoTV,

WADAU wa haki za binadamu wakiwamo waandishi wa habari, wamesema jitihada za haraka zinatakiwa kuchukuliwa na vyombo vya dola nchini, kukomesha mateso yanayowaandama wafanyakazi wa majumbani.

Kulingana na hayo, watoto wadogo wanaotumikishwa kazi za majumbani kinyume cha sheria ni vema wakaokolewa, huku rushwa ikitajwa kuwa ni tatizo linalokwamisha upatikanaji wa haki zao.

Hayo yamejiri katika semina inayoendelea jijini Mwanza, iliyoandaliwa na Shirika la Kutetea Haki za Watoto na Wafanyakazi Majumbani nchini (TDWC).

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.