ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, June 6, 2018

TAARIFA HII INASTUA:- BILA KUCHUKUWA HATUA ZA HARAKA IFIKAPO 2050 MIFUKO YA PLASTIKI ITAKUWA MINGI NDANI YA BAHARI NA MAZIWA KULIKO SAMAKI



GSENGOtV
Ndani ya jumuiko la Maadhinmisho ya Siku ya Mazingira Duniani ambapo kwa mkoa wa Mwanza yamefanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya jiji hilo, Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Bi. Marry Tesha anasisitiza umuhimu wa ulinzi na uhifadhi wa mito na maziwa ambavyo muhimili wake unategemea upandaji miti na utunzaji wa mazingira. 

Na jeh ni kwanini Jiji la Mwanza limepoteza sifa ya usafi nchini kwa takribani miaka mitatu sasa?

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.