ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, June 16, 2018

LSF YAUNGANA NA WADAU KUADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA


GSENGOtV
Shirika lisilo la kiserikali , Legal Service Facility (LSF) linalojishughulisha katika kusaidia upatikanaji wa huduma za msaada wa kisheria pamoja na kuwawezesha watanzania hususani wanawake kupata haki zao, leo wameungana na wadau mbalimbali katika kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika inayofanyika kila mwaka tarehe 16 mwezi Juni. 
Akizungumza kwa niaba ya LSF, Mkurugenzi wa miradi Bi Scholastica Jullu ameihasa jamii kuwalinda watoto hususani mtoto wa kike kwa kutoendeleza ndoa za utotoni kitendo kinachokatisha ndoto zao. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.