Ikicheza nyumbani kama timu wenyeji wa mashindano #Rusia imetupa karata yake ya kwanza michuano ya Kombe la dunia kwa kufanya mauaji kwa waarabu #SaudiArabia kwa kuwabamiza bao 5-0.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.