ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 15, 2018

DK. BILAL AKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA MASHINDANO YA KUSOMA KURANI JIMBONI KIKWAJUNI

 Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Ghalib Bilal akizungumza wakatiwa Mashindano ya Kusoma Kurani, yaliyofanyika leo  katika kiwanja cha Mapinduzi kilichopo Kikwajuni visiwaniZanzibar.Wapili ni Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni ambae pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.ndio 
 Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Ghalib Bilal akimkabidhi zawadi,Salha   Mohamed   Khamis,   baada   ya   kuibuka     mshindi   wa   juzuu   tano   wa     Mashindano   ya   Kusoma   Kurani,yaliyofanyika   leo   katika   kiwanja   cha   Mapinduzi   kilichopo   Kikwajuni   visiwani   Zanzibar.Wakwanza   kulia   niMwakilishi   wa   Jimbo   la   Kikwajuni,Saleh   Nassoro   Jazeera     na     Mbunge   wa   Jimbo   hilo,   Mhandisi   HamadMasauni(watatu kulia)
 Mshiriki   wa   Mashindano   ya   Kusoma   Kurani,   Salha   Juma   Sadalla   akisoma   kurani   wakati   wa   mashindanoyaliyofanyika  leo katika Kiwanja cha Mapinduzi kilichopo Kikwajuni visiwani Zanzibar. 
 Mshiriki wa Mashindano ya Kusoma Kurani, Abdilbaswit Hamis Hassan, akisoma kurani wakati wa mashindanoyaliyofanyika leo katika Kiwanja cha Mapinduzi kilichopo Kikwajuni visiwani Zanzibar.
 Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Ghalib Bilal akisalimiana naMbunge wa  Jimbo la  Kikwajuni,  ambae pia  ni  Naibu  Waziri  wa  Mambo ya  Ndani ya  nchi,  Mhandisi HamadMasauni,  baada   ya   kuwasili  kiwanja   cha  Mapinduzi     ambako  alikuwa   mgeni  rasmi   kwenye     Mashindano     yaKusoma Kurani, yaliyofanyika leo visiwani Zanzibar.Wapili kulia ni Mwakilishi wa Jimbo hilo, Saleh NassoroJazeera. 
 Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Ghalib Bilal (watano kulia mstariwapili) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Jimbo la Kikwajuni na washindi wa Mashindano ya KusomaKurani   baada   ya   kuwakabidhi   zawadi.Mashindano   hayo   yamefanyika   katika   Kiwanja   cha   Mapinduzi   visiwaniZanzibar.
Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Ghalib Bilal, akiwaaga wananchi(hawapo pichani), waliohudhuria  hafla ya  Mashindano ya Kusoma Kurani, yaliyofanyika leo  katika kiwanja chaMapinduzi kilichopo Kikwajuni visiwani Zanzibar.Wakwanza kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni, ambaepia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni na kulia ni Mwakilishi wa jimbo hilo,Saleh Nassoro Jazeera.Picha na Mpiga Picha Wetu

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.