ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 15, 2018

BIASHARA YA KUKU MSIMU WA EID SOKO LA KIRUMBA MWANZA




GSENGOtV

Msimu huu wa Sikukuu ya Eid El Fitri mambo ya kitoweo kama Kuku, mbuzi na Ng’ombe ndiyo wakati wake wa kununuliwa kwa wingi na pia kuuzwa kwa bei ya juu ama bei kuwa ghali. Jembe Fm Leo kupitia kipindi chake cha Kazi na Ngoma imepita katika soko dogo la Kirumba lililoko wilayani Ilemela na kudhuru kiunga cha wauza kuku, bei ya kuku mmoja ni kati ya shilingi 12,000/= mpaka 25,000/=

Kuhusu mengineyo mambo yalikuwa hivi (Cheki video).

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.