ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, May 15, 2018

MONGELA ATETA MAZITO NA WADAU WA ELIMU MWANZA



GSENGOtV
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella amekuja na mkakati ambao kama utatekelezwa vyema utasaidia kupunguza utoro mashuleni, kuongeza ari ya kusoma na hatimaye kuongeza idadi ya ufaulu.

Mhe.Mongella alikuwa akizungumza hii leo Mei 14, 2018 kwenye kikao kazi cha waalimu wakuu, maafisa elimu kata, wilaya, ofisi ya mkuu wa mkoa na wadhibiti ubora kutoka halmashauri zote nane za mkoa wa Mwanza ambazo ni Nyamagana, Ilemela, Magu, Ukerewe, Buchosa, Sengerema, Misungwi pamoja na Kwimba.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.