ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, May 5, 2018

KUMBE MOURINHO ALITABIRI TIMU YAKE KUCHEZEA KICHAPO!

Anthony Knockaert akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Brighton & Hove Albion bao pekee dakika ya 57 ikiwalaza Manchester United 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja The American Express Community usiku wa Ijumaa.
 "Duh tumepigwa.......!"
Jose Mourinho na kauli yake: “It was not good enough,” he tells Sky Sports. “Wachezaji walio chukua nafasi katika mabadiriko hawakuwa katika kiwango kizuri. Mchezaji mmoja mmoja asipocheza katika kiwango kizuri, ni vigumu kwa timu kupata matokeo. "Hata wachezaji wangu ukiwauliza nilijua masaibu haya yatakwenda kutokea, na niliwaambia hata kabla ya mchezo nikawapa tahadhari" Alisema Mourinho 

 "My players will tell you that before the match I knew what was going to happen and I told them. At half-time I knew what was going to happen. I knew it and I told them.”

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.