ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, May 10, 2018

JEH KWIMBA ITAFURUKUTA NA HATIMAYE KUJIKWAMUA KATIKA ELIMU?


Wanafunzi wa darasa la nne wilayani KWIMBA mkoani MWANZA hawana vitabu vya kiada vya mtaala mpya ulioboreshwa na hivyo kuathiri maandalizi ya mtihani wa upimaji wa kitaifa utakaofanyika NOVEMBA mwaka huu.

Afisa Elimu Msingi wilayani humo EMMANUEL JOHNSON amesema kuwa ukosefu wa vitabu hivyo umeathiri tendo la ujifunzaji na kuiomba serikali kuharakisha zoezi la kusambaza vitabu hivyo kabla ya Juni mwaka huu ili kuepusha madhara zaidi ya kitaaluma yanayoweza kujitokeza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.