ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, April 12, 2018

WATU 17 WAFARIKI KWA AJALI KENYA.


Watu 17 wameripotiwa kufariki dunia na wengine 44 kujeruhiwa vibaya  katika ajali iliotokea kwa makosa ya kibinadamu baada ya  dereva wa basi hilo kupoteza muelekea akijaribu kulikwepa lori lililokuwa likijielekeza katika upande wake.

Mkuu wa wilaya ya Narok  nchini Kenya  George  Natembeya amesema kuwa basi hilo lililofanya ajali  lilikuwa na abiria 63.

Miongoni mwa watu waliofarik katika ajali hiyo walikuemo watoto watatu.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.