Watu watano Mkoani MWANZA wakiwemo waganga wa jadi WAWILI wanashikiliwa na polisi Wilayani MISUNGWI kwa tuhuma za kuhusika na mtandao wa mauaji ya wanawake kwa imani za kishirikina.
Watuhumiwa hao ambao walikuwa wakitafutwa tangu mwaka 2013 wanatuhumiwa kuhusika na mauaji ya wanawake wanane kwa kuwakata kwa mapanga, kunyofoa sehemu za siri na matiti na kuziuza kwa waganga wa kienyeji kwa masuala ya kishirikina.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.