ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, April 26, 2018

HII NDIYO TAREHE 26 NA HALI YA MITAA YA JIJI LA MWANZA



GSENGOTV.
WAKATI Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa wa Mwanza ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa huo Mhe. John Mongella akiwakaribisha wawekezaji kuwekeza ndani ya mkoa wake huku akisisitiza kuwa ni sehemu salama ya uwekezaji, yenye tija na faida.

Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza Ahmed Msangi kwa nyakati tofauti hii leo ameviongoza vikosi vyeke vya ulinzi na usalama kupita katika maeneo mbalimbali mkoani hapa kukagua hali ya ulinzi na usalama kufuatia habari zilizozagaa kwa kasi mitandaoni kuwa kungekuwa na maandamano kote nchini ya kuipinga Serikali iliyopo madarakani, ambapo jeshi hilo lilipiga marufuku liki bainisha kuwa halijayabariki maandamano hayo.

Gsengo Tv imepita maeneo mbalimbali muhimu (husussani yale ambayo kama likitokea la kutokea ndiyo haswaa huguswakatikati ya jiji la Mwanza kutizama shughuli mbalimbali za hapa na pale ikiwa ni pamoja na kupigia mstari hali ya usalama.

Hiki ndicho kilichojiri hadi jioni ya leo tunakwenda mitamboni.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.