ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, April 28, 2018

TANZIA ABBAS KANDORO KATUTOKA.

TANZIA: Mkuu wa mkoa mstaafu Mzee Abbas kandoro amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jijini Dar alikolazwa.

Kwa mujibu wa ratiba iliyopatikana msibani, Leo asubuhi saa tatu mwili umeandaliwa pale Muhimbili hospital, na ibada ya kumwombea marehemu itafanyika saa saba mchana katika msikiti wa manyema kariakoo mtaa wa mafia,na baadaye mwili utakwenda nyumbani kwake mbweni luis kwa ajili ya kuuaga mwili na saa 10.00 jioni safari ya kwenda Ihemi Iringa. 

Marehemu atazikwa siku ya jumapili saa 10.00 jioni shambani kwake Ihemi,Iringa. 

Mola aiweke ROHO ya marehemu pahala pema peponi AMIN  - #JembeHabari


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.