ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, April 26, 2018

LIVE - SHEREHE ZA MIAKA 54 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR KUTOKA UWANJA WA JAMHURI DODOMA


Ni maadhimisho ya miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa Tanzania yakifanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma, yakipambwa na burudani za aina mbalimbali ikiwemo gwaride pamoja na halaiki. Mgeni rasmi katika sherehe hizi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.