ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, April 11, 2018

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI MWINGINE.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Isaya Jayambo Jairo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA).

Taarifa hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na kueleza kuwa uteuzi huo wa Prof. Jairo unaanza leo Aprili 11, 2018.

Soma hapa chini kwa taarifa kamili.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.