ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, April 23, 2018

BAADA YA MAANDAMANO MAKUBWA KUFANYIKA WAZIRI MKUU AACHIA NGAZI.


Waziri Mkuu wa Armenia, Serzh Sargsyan amejiuzulu rasmi leo April 23, 2018 baada ya siku kadhaa za maandamano makubwa ya kitaifa dhidi yake.

Wafuasi wa upinzani wanamtuhumu Sargsyan kwa kung’ang’ania madaraka mara tu baada ya kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu Jumanne ya wiki iliyopita, baada ya kumaliza mihula miwili ya miaka 1o kama Rais

Tangazo hilo limekuja baada ya kiongozi wa upinzani Nikol Pashinyan kufunguliwa kutoka kizuizini. Pashinyan alikamatwa siku ya Jumapili baada ya mazungumzo ya televisheni na Mr Sargsyan kutofikia muafaka.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.