Wakali wa England Liverpool sasa kukutana uso kwa uso na wababe Baca hapa twawazungumzia AS ROMA.
Bayern Munchen kuoneshana soka na wakali wa Hispania Real Madrid.
DROO ya kupanga Mechi za Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imechezeshwa leo na timu hizo zimepangwa tayari ambapo Mabingwa watetezi Real Madrid wataanzia ugenini kucheza na Beyern Munich wakati Liverpool wakianza kwa kuikaribisha AS Roma.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.