ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, March 13, 2018

SHAMBA JINGINE KUBWA LA BANGI LACHOMWA MOTO SENGEREMA.

KAMATI ya ulinzi na usalama wilayani 1Sengerema imefanikiwa kuteketeza shamba kubwa la bangi lenye ukubwa wa hekari 3 likiwa na miche zaidi ya elfu kumi baada ya kupata taarifa kutoka kwa wasamaria.

Bangi hiyo imefumwa katikati ya Msitu wa Hifadhi wa Maisome, kata ya Maisome Halmashauri ya Buchosa.

HABARI ZAIDI NA PICHA KUWAJIA HAPA

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.