ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 16, 2018

MAMLAKA YA KUSIMAMIA MADAWA UGANDA YAENDELEA KUNASA DAWA BANDIA KATIKA HOSPITALI NA MADUKA

Huduma za uuzaji madawa zilivyo nchini Uganda.
Taasisi ya kudhibiti madawa nchini Uganda imeendelea kukamata madawa ambayo yamekuwa yakiuzwa katika vituo mbalimbali vya afya nchini humo.
Hatua hiyo imekuja ikiwa ni siku chache zimepita tangu mamlaka kuu ya kutathmini madawa nchini Uganda UNDA, kunasa madawa ya aina hiyo ambayo baadhi yalikutwa katika hospitali za serikali suala ambalo lilileta mshuko mkubwa kati ya wananchi.

Kwa mujibu wa mamlaka hayo, madawa mengi yanayouzwa na kutolewa katika vituo mbalimbali vya afya nchini humo yamepitwa na wakati, au ni madawa bandia ambayo kwa njia mmoja ama nyingine yamesababisha vifo vya watu wengi hadi sasa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.