ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, March 13, 2018

JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LINAWASHIKILIA WATU 8 KWA KOSA LA KUFANYA KUSANYIKO WAKIDAI KUHANI MSIBA



Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, Ahmed Msangi ameongea na Jembe Fm kupitia mwanahabari wake Albert G Sengo na kuthibitisha kuwa:- Ni kweli tumewasambaratisha na tutaendelea kuwasambaratisha wale wote wanaokwenda kinyume na utaratibu wa sheria"

"Ni kweli hapo mabatini leo kuna watu kama 500 hivi walikuwa wamekusanyika wakifanya shughuli za siasa, siyo kuhani msiba"

"Kuhani msiba ni sababu tu............"

"Ukiuliza wanasema Oooh Mama yangu alikufa mwaka jana hivyo wamekuja kuhani, hizi ni mbinu tu kwa hawa jamaa kufanya mikutano yao isiyo rasmi na humo ndani hawazungumzi msiba bali wanazungumza siasa tupu......."

ZAIDI SIKILIZA SAUTI HAPO JUU.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.