ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, March 13, 2018

MAMBOSASA: NONDO ALIJITEKA, ALIENDA KWA MPENZI WAKE IRINGA.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema uchunguzi uliofanywa na Jeshi lake kwa kushirikiana na wenzao wa Iringa umebaini kuwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi nchini TSNP, Abdul Nondo ambaye anatajwa kutekwa alijiteka mwenyewe na Iringa alienda kumtembelea mpenzi wake.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.