ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, March 15, 2018

VIDEO:- AFANDE SELE ATOA YA MOYONI MBELE YA MAGUFULI.


VIDEO: KWAHISANI YA AZAM TV.
Msanii wa Hip Hop Bongo, Selemani Msindi ‘Afande Sele’ leo ametangaza rasmi kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM mbele ya Rais Magufuli ambaye ndiye mwenyeki wa chama hicho. Afande Sele alikuwa ni kada wa chama cha ACT Wazalendo alikuwa mgombea ubunge wa jimbo la Morogoro Mjini katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kabla ya kujivua uanachama wa chama hicho mwaka jana. Tukio hili limetokea katika hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha sigara cha Philip Morris International Limited, mkoani Morogoro.
Tazama ilivyokuwa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.