ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, February 26, 2018

HAYA HAPA MAGOLI YOTE MATANO YA SIMBA IKIITANDIKA MBAO FC FC 5-0 (26/02/2018)


Simba imeicharaza Mbao FC jumla ya mabao 5-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa leo katika dimba la Taifa Dar es Salaam. Magoli yote a Simba katika mchezo wa leo, haya hapa, wafungaji wakiwa ni Shiza Kichuya, Emmanuel Okwi mabao mawili, Nicholas Gyan na Erasto Nyoni.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.