ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, January 24, 2018

TIGO KANDA YA ZIWA YAMWAGA PESA KWA MAWAKALA WAKE WASHINDI.



Hatimaye Tigo Kanda ya Ziwa Victoria hii leo wamekabidhi zawadi kwa Mawakala washindi wawili katika shindano waliloshindanishwa kupitia utoaji huduma.

Mshindi wa kwanza kajinyakulia kitita cha shilingi milioni 2, huku mshindi wa pili akiondoka na kitita cha shilingi milioni 1, sherehe ya makabidhiano imefanyika ndani ya moja ya kumbi za Gold Crest Hotel jijini Mwanza na kuhudhuriwa na wafanyakazi na mawakala wa Tigo.










Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.