ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 18, 2018

POLE SINGIDA UNITED KWA KUMALIZA MCHEZO KABLA YA DAKIKA 90


Singida united iliingia na plan ambayo sio sahihi kwa Mchezo wa leo..huwezi kucheza na simba yenye viungo zaidi ya wa3 kati kati kisha uweke soft players na wachezaji waliotoka majeruhi..

Huwa nawasifu sana Azam kwa nidhamu bora sana ya ukabaji na kuwasumbua wachezaji wa simba kiasi cha kuwafanya wasicheze mpira unaotakiwa..........

Singida waliwaachia simba wacheze na waliamini wao pia wanaweza kucheza..Walisahau falsafa ya asili ya Simba na namna ya kucheza mpira...beki zao zimekatika sana leo na walishindwa kabisa kudhibiti mikiki ya simba.....

Singida lazima wawe wanaangalia approach nzuri ya kucheza game kubwa na hasa kwenye uwanja mkubwa na aina ya timu kubwa kama simba......

Ni kipigo "Heavy" lakini naamini kitawapa somo kubwa katika mechi zinazokuja na watafanya vizuri ikiwa watabadilika na watakuwa na approach nzuri dhidi ya game kubwa na timu kubwa kama Simba.

Hongeren Simba
Juma Ayo Mtalaam

POLE SINGIDA UNITED KWA KUMALIZA MCHEZO KABLA YA DAKIKA 90

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.