ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, December 18, 2017

UVUMI WA KINANA KWAMBA HAZIIVI CHUNGU KIMOJA NA JPM MAJIBU YAKE HAYA HAPA.



Ukimya wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Abraham Kinana kufuatia yale yaliyokuwa yakisemwa juu yake umesababisha wengi wadau na wafuatiliaji wa Siasa kuamini kile walichokuwa wakisikia...Mingong'ono imekuwa si kwa wananchi wa kawaida tu au wapinzani wa chama hicho bali pia hata wanachama wa CCM baadhi yao wamesikika mara kadhaa wakinong'ona chini chini kwamba Kinana na JPM haziivi na kabla ya mkutano wa Uchaguzi hii leo 'eTi' alikuwa na mpango wa kukaa kando. 

Kwa takribani siku 3 kabla ya kusanyiko la leo HABARI KUU ILIYOTIKISA IMEKUWA INSHU HIYO.

Nisikuchoshe 

'MAJIBU HAYA HAPA'

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.