ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, December 3, 2017

UCHAGUZI CCM MKOA WA MWANZA TAKUKURU YANASA WATATU.



Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Mkoani Mwanza Disemba 2 imewakamata wajumbe wanne wa mkutano mkuu wa chama cha mapinduzi kwa tuhuma za kupokea rushwa katika uchaguzi wa viongozi wa CCM uliofanyika katika uwanja vya Kirumba jijini Mwanza.
Kura zilipigwa hapa...
Mmoja kati ya wajumbe wa mkutano akipiga kura katika uchaguzi CCM mkoa wa Mwanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.