ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, December 14, 2017

JPM: WANAOSEMA VYUMA VIMEKAZA WAWEKE GRISI LA SIVYO VITAVUNJIKA.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli leo amefanya mazungumzo na walimu mjini Dodoma ambapo mbali namambo mengine, wamemueleza changamoto mbalimbalai zinazowakabili ambapo naye ameahidi kuzishughulikia, huku akitoa kiwango cha shilingi milioni kumi kwa ajili ya kuwachangia walimu. Katika mazungumzo yake hayo Rais Magufuli, amewajibu watu wanaotumia msemo wa 'Vyuma Vimekaza' wakimaanisha kwamba maisha ni magumu, ambapo amewashauri vikizidi kukaza sana waweke Grisi la sivyo vitavunjika.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.