Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akiingiza taarifa za muombaji wa kitambulisho cha Taifa, baada ya kuzindua zoezi la usajili wa vitambulisho hivyo leo Mkoani Mara.Kupitia zoezi hilo wananchi wa mkoa huo na wilaya zake watapata fursa ya kupata vitambulisho vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala (kushoto), Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Andrew Masawe (katikati), wakishuhudia uchukuliwaji wa alama za vidole za mmoja wa wananchi waliofika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo, mkoani Mara kuandikishwa kwa ajili ya kupata kitambulisho cha utaifa. Kupitia zoezi hilo wananchi wa mkoa huo na wilaya zake watapata fursa ya kupata vitambulisho vya Taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.