ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, October 24, 2017

JEH MARUDIO YA UCHAGUZI WA KENYA 2017 YATAFANYIKA?


Wakati kukiwa na sintofahamu nchini Kenya kuhusu marudio ya uchaguzi mkuu 2017 karatasi za kuhusika na mchakato huo tayari zietua katika maeneo yote ya uchaguzi kwaajili ya kutoa fursa kwa wananchi kuamua.

Fuatilia mahojiano ya Mtangazaji wako Albert G. Sengo na mchambuzi Simon Sawe yaliyofanyika leo ndani ya kipindi cha KAZI NA NGOMA ya 93.7 Jembe Fm Mwanza.
Ballot papers for the rerun presidential election arrive at the Jomo Kenyatta international airport.
Karatasi za kura.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.