ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, September 22, 2017

MMOJA AFARIKI DUNIA BAADA YA BASI KUGONGA NG'OMBE SHINYANGA.


#AjaliYaBASI: HUKO SHINYANGA:
Mtu mmoja amefariki na wengine zaidi ya 50 kunusurika baada ya basi la kampuni ya KIDIA ONE kupinduka usiku wa kuamkia leo September 22, 2017.


Basi hilo lililokuwa linatokea Jijini Dar-es-Salaam kuelekea Jijini Mwanza liligonga Ng'ombe majira ya saa sita katika eneo la Usanda kabla ya kupinduka.
NA: ENOS MAKEJA.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.