ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, July 21, 2017

YANGA SC YAPATA MBADALA WA MSUVA.

Winga wa kimataifa wa Burundi, Baruan Yahya

Mchezaji huyo raia wa Burundi amesema kuwa anafurahishwa na uwezo wa wachezaji waliyo sajiliwa na Yanga SC.

“Nafurahishwa na uwezo wa wachezaji, Thaban Kamusoko na Ibrahim Ajib wanavipaji vya hali ya juu na uwezo wao unanipa kiu ya kufanya makubwa msimu ujao”.Amesema Baruan Yahya.

Mpaka sasa kikosi hicho cha Mzambia, George Lwandamina kina jumla ya wachezaji watano, kipa Mcameroon, Youthe Rostand aliyesajiliwa kutoka African Lyon, beki Abdallah Hajji ‘Ninja’ kutoka Taifa Jang’ombe, kiungo Pius Buswita kutoka Mbao FC, na mshambuliaji Ibrahim Ajib kutoka kwa mahasimu, Simba SC.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.