Wakili wa Rais wa Chama Cha Wanasheria Nchini Tundu Lissu, Fatma Karume amesema kuwa Jeshi la Polisi halipo tayari kumwachia kwa Dhamana Mbunge huyo wa Singida Mashariki.
Lissu alikamatwa Jana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu
Nyerere Jijini Dar es Salaam, alipokuwa akirejea Kutoka Mjini Dodoma.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.