ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, July 22, 2017

MWIGULU AUKUBALI MZIKI WA ALLIANCE: SINGIDA UNITED YASHINDA 2 KAVU.

Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mwigulu Nchemba akizungumza na wandishi wa habari jijini Mwanza mara baada ya mchezo kati ya Alliance Academy dhidi ya Singida United mchezo uliofanyika katika dimba la Nyamagana, ambapo Alliance walitembezewa kichapo cha bao 2-0.
MAELEZO KWA PICHA NYINGINE KUWAJIA HIVI PUNDE........

















Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.