ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, July 10, 2017

BREAKING NEWS: NGELEJA ATHIBITISHA KURUDISHA HELA ZA ESCROW.



Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja ameithibitishia Jembe Fm kuwa amerejesha Tsh 40.4 milioni alizopewa katika mgao wa fedha zilizochotwa kutoka akaunti ya Tegeta Escrow.

Akizungumza asubuhi hii kwa njia ya simu na kipindi cha Kazi na Ngoma kinachoruka kila siku za juma saa 5 asubuhi hadi 7 mchana. Mbunge huyo wa Sengerema amejibu kwa ufupi tu kwa ".....ndiyo ni kweli kwa taarifa uliyosikia...." SAUTI KUWAJIA HIVI PUNDE.




Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.