KUTOKANA NA
KUTOKUFIKIA LENGO LA UKUSANYAJI WA MAPATO BALAZA LA MADIWANI HALASHAURI YA
WILAYA YA SENGEREMA LIMEKUSUDIA
KUWACHUKULIA HATUA WATUMISHI NA WATAALAMU KATIKA HALMASHAURI HIYO WAKAOBAINIKA
KUHUSIKA.
Maamuzi hayo yametolewa katika kikao cha tatu cha balaza la
madiwani kilichafanyika katika ukumbi wa halmashauri ambapo mh;Evarist Yanga amesema hatua kali zitachukuliwa kwa
watendaji watakao bainika na shutuma hiyo.
Akizungumza kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji wa
halmashauri bwana Oscar Kapinga amesema
tayari halmashauri imeweka mikakati ya kubaini change cha moto zilizojitokeza
kwa kipindi kilichopita na kusababisha kutokuyafikia malengo hayo.
Na katika mahojianio maalumu waheshimiwa madiwani mh Robati
Madaha ambaye ni diwani wa kata ya
CHIFUNFU na mh Emmanuel Munwanizi wa kata ya Nampulukano wao wamesema kuwa
watendaji na wataalamu wa halmashauri hiyo ndio chanzo cha kutokusimamia mapato
na kupelekea kutokufikia lengo lililokusudiwa.
Halmashauri ya wilaya ya Sengerema katika mwaka wa fedha 2016/2017 ilipanga kusanya
kiasi sha sh.bilioni mbili na laki sita lakini hadi sasa fedha iliyokwisha
kuswanya ni sh.milioni stini na sita,laki mbili therathini na tano na moja
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.