Mke wa mzee Yusuf, Marehemu Chiku Hamisi, hatimaye amezikwa kwenye
Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam, shughuli ambayo imehudhuriwa na
mamia ya waombolezaji.
Chiku alifariki Jumamosi jioni katika
Hospitali ya Amana wakati akijifungua ambapo kichanga kilichokuwa
tumboni mwake nacho kilifariki.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.