Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli yupo mkoani
Pwani kwa ziara ya kikazi ambapo leo anawahutubia wananchi wa Bwawani,
Kibaha mkoani humo.
Katika siku za hivi karibuni, Mkoa wa Pwani
umekumbwa na mfululizo wa matukio ya mauaji, jambo linaloonesha kumkera
sana mheshimiwa rais.
WAZIRI JAFO AFUNGUA MILANGO KWA WADAU WA MAZINGIRA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt.
Selemani Jafo akizungumza wakati wa kikao na ujumbe kutoka mashirika ya
kimataifa...
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.