ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, June 20, 2017

RAIS MAGUFULI AKIONGEA NA WANANCHI WA KIBAHA, PWANI.

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli yupo mkoani Pwani kwa ziara ya kikazi ambapo leo anawahutubia wananchi wa Bwawani, Kibaha mkoani humo.

Katika siku za hivi karibuni, Mkoa wa Pwani umekumbwa na mfululizo wa matukio ya mauaji, jambo linaloonesha kumkera sana mheshimiwa rais.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.