ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, June 1, 2017

CHDEMA YAAMURU BENDERA ZAKE KUPEPEA NUSU MLINGOTI.

Katibu Mkuu wa Chama hicho Dr Mashinji Leo amezungumza na Waandishibwa Habari Jiji Dar es Salaam.

Dr Mashinji amesema kuwa chama kipo kwenye majonzi makubwa sana baada ya kuondokewa na  mwasisi wa chama hicho mzee Ndesamboro na Chama kimeamua kupeperusha Bendera za chama nusu mringoti nchi nzima.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.