Katibu Mkuu wa Chama hicho Dr Mashinji Leo amezungumza na Waandishibwa Habari Jiji Dar es Salaam.
Dr Mashinji amesema kuwa chama kipo kwenye majonzi makubwa sana baada ya
kuondokewa na mwasisi wa chama hicho mzee Ndesamboro na Chama kimeamua
kupeperusha Bendera za chama nusu mringoti nchi nzima.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.