ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, June 5, 2017

BAADA YA BECKHAM, MCHEZAJI MWINGINE ATUA NCHINI.


Siku mbili tu baada ya kuondoka kwa nyota wa zamani wa Manchester United, David Beckham ambaye alikuja nchini kwa utalii akiwa na familia yake, Tanzania imepata ugeni mwingine.

Safari hii ni Mamadou Sakho, beki wa Liverpool raia wa Ufaransa ambaye yuko mjini Arusha kwa utalii.
Sakho na ambaye anakipiga Crystal Palace kwa mkopo, naye yuko mapumzikoni na amechagua mbuga za wanyama za Tanzania kwa kazi yake hiyo.
 
 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.