ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, June 29, 2017

AVEVA NA MALINZI WASOMEWA MASHTAKA.

Kwa Nyakati Tofauti Rais wa Simba amepandishwa kizimbani na Rais wa TFF Jamali Malinzi kusomewa mashtaka ya Kughushi nyaraka kwa nia ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na utakatishashaji wa Fedha.

Awali Evence aveva na Mwenzake alipandishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu na Kusomewa mashtala Matano mbele ya Hakimu Mkazi victoria Nongwa na Wakili msigwa .

Baadaye alipandishwa Raisi wa TTF Jamali Malinzi na wenzake mbele ya Hakimu Mkazi Wilbard Mashauri ambao walisomewa mashataka 28 pamoja na kughushi nyaraka na utakatishaji Fedha.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.