ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, May 31, 2017

IGP SIRRO:- NI KUFA NA KUPONA NA HAYA.


Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Simon Sirro, avalia  njuga matukio ya uhalifu yanayoweka rehani amani ya  nchini.
 
Awali IGP Sirro ametuma Salamu za kwa wahalifu  na kuwapa neno la faraja Wananchi wa Kibiti , Ikwiriri pamoja na Mkuranga na Rufiji.

 IGP Sirro amekula kipao mbele ya suala la Mauji ya Raia kibiti na kuweka Dau kwa Wananchi watakao waonyesha wauaji wa Raia.

Ameweka mikakati ya kutokomeza uhalifu huo kwa kuanza kuongeza nguvu ya ziada kukabiriana na uhalifu huo.

Suala la Pili la ni Rushwa kwa Askari wa Jeshi la Polisi na kwamba askari au mtumishi wa jeshi hilo akicjihusisha na Rushwa atachukuliwa hatua za kisheria.

Suala la Mwisho ni kwamba kukomesha mauji yanayotokana na wananchi kujichukulia sheria Mkononi (watu wenye asira kali) na kwamba watachukuliwa hatua kali.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.